View

Inapakia...

TUFATILIE KUPITIA

IVST Social Follow
TUFUATILIE KUPITIA MITANDAO YA KIJAMII
BONYEZA HAPA

CHAGUA MKOA WAKO

JIUNGE NA IVST KWA MKOA

Kuhusu sisi

KUHUSU IVST

Itifaki ya Vijana kwa Mikutano na Sherehe Tanzania (IVST) ni jumuiya ya kitaifa iliyosajiliwa chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani (Usajili Na. S.A. 24310). Lengo kuu ni kukuza maadili, nidhamu na taaluma ya itifaki miongoni mwa vijana nchini.

IVST inawaandaa vijana kuwa wataalamu wa itifaki (Protocol Officers), wenye uwezo wa kushiriki katika maandalizi na uendeshaji wa mikutano, sherehe na matukio ya kitaifa kwa weledi na heshima.

DIRA

Kuwa na taifa lenye vijana wenye maadili, uzalendo na nidhamu.

DHIMA

Kuwaandaa vijana katika maadili, uongozi na ushirikiano na taasisi za serikali, binafsi na dini kwa kuzingatia utamaduni wa Kitanzania.

MALENGO

  • Kutoa mafunzo ya itifaki na uongozi
  • Kukuza uzalendo na maadili mema
  • Kushirikiana na taasisi mbalimbali
  • Kuwaandaa vijana kitaaluma

SHUGHULI KUU

  • Mafunzo ya itifaki kwa vijana
  • Kuwaunganisha vijana na fursa za kazi
  • Kutoa elimu ya maadili na uongozi
  • Kushiriki maandalizi ya matukio mbalimbali

FURSA KWA WANACHAMA

  • Kazi za sherehe (Harusi, Sendoff, Kitchen Party)
  • Kazi za misiba na matukio ya kijamii
  • Huduma za mikutano na maandalizi
  • Itifaki kwenye dhifa za kitaifa na kiraia

“IVST KWA AJILI YAKO”

Karibu ujiunge nasi — chagua mkoa wako hapa chini 👇

FORM YA KUJIUNGA

JIUNGE NA IVST

Passport Preview

ADA

MAONI

VIONGOZI WA KUU WA IVST TAIFA

IVST Sunday, 5 April 2026 0

Gasto Alex Didas MWENYEKITI IVST TAIFA Hakim Abdul Nour  KATIBU MKUU IVST TSIFA Agripiner Faustine Musita  MHASIBU MKUU IVST TSIFA 

KATIBA NA KANUZI YA IVST TANZANIA

IVST Tuesday, 31 March 2026 0

  KATIBA YA IVST TANZANIA KANUNI YA IVST TANZANIA

DIRA, DHIMA, MALENGO YA IVST

IVST Wednesday, 28 January 2026 0

 SEHEMU YA 1: UTANGULIZI Itifaki ya Vijana kwa Mikutano na Sherehe Tanzania (IVST) ni Jumuiya ya Kitaifa iliyo sajiliwa wizara ya Mambo ya n...

GASTO ALEX DIDAS

IVST Tuesday, 13 January 2026 0

Gasto Alex Didas ni kiongozi wa kijamii, mwanzilishi wa jumuiya, mratibu wa vijana, mbunifu wa mifumo ya kijamii na kidijitali, mtaalamu wa ...

MALENGO MAKUU YA IVST TANZANIA

IVST 0

 MALENGO MAKUU YA IVST Malengo makuu ya Itifaki ya Vijana kwa Mikutano na Sherehe Tanzania (IVST) ni kama ifuatavyo: Kukuza na kuimarisha ue...

IVST TANZANIA NININI?

IVST 0

 UTANGULIZI Itifaki ya Vijana kwa Mikutano na Sherehe Tanzania (IVST) ni Jumuiya ya Kitaifa iliyo sajiliwa wizara ya Mambo ya ndani Kwa sher...